Vistula (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d robot Adding: mk:Висла
Mstari 51: Mstari 51:
[[lt:Vysla]]
[[lt:Vysla]]
[[lv:Visla]]
[[lv:Visla]]
[[mk:Висла]]
[[nl:Wisła (rivier)]]
[[nl:Wisła (rivier)]]
[[no:Wisła]]
[[no:Wisła]]

Pitio la 10:38, 30 Septemba 2007

Vistula
Kipoland: Wisła
Vistula karibu na Warshawa, Poland.
Chanzo Milima ya Beskidi
Mdomo Bahari ya Baltiki
Nchi Poland
Urefu 1,047 km
Kimo cha chanzo 1,106 m
Mkondo 1,054 m³/s
Eneo la beseni 194,424 km²
Nchi za beseni: Poland,
Ukraine, Belarus, Slovakia
Miji mikubwa kando lake Krakov, Warshawa, Thorun, Gdansk

Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.

Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.