Bwana wa Mapete : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (Roboti: Imebadilisha: la:The Lord of the Rings
d Roboti: Imeongeza diq:The Lord of the Rings
Mstari 27: Mstari 27:
[[da:Ringenes Herre]]
[[da:Ringenes Herre]]
[[de:Der Herr der Ringe]]
[[de:Der Herr der Ringe]]
[[diq:The Lord of the Rings]]
[[el:Ο Άρχοντας των Δαχτυλιδιών]]
[[el:Ο Άρχοντας των Δαχτυλιδιών]]
[[en:The Lord of the Rings]]
[[en:The Lord of the Rings]]

Pitio la 17:09, 20 Julai 2012

Bwana wa Mapete ni kitabu cha bunilizi ya kinjozi kilichoandikwa na J.R.R. Tolkien. Kwa asili, Tolkien aliiandika kama mfuatano wa kitabu chake cha Mhobiti kilichokuwa kimetolewa mwaka wa 1937. Ila Bwana wa Mapete ikaendelea kuwa riwaya kubwa katika sehemu tatu. Tolkien aliiandika kati ya miaka ya 1937 na 1949, hasa wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Hatimaye sehemu hizo tatu zilitolewa kama vitabu vitatu kuanzia 1954 hadi 1955. Tangu kutolewa, Bwana wa Mapete imetafsiriwa katika lugha nyingi na imekuwa kitabu muhimu katika fasihi ya karne ya 20.

Kichwa cha kitabu hicho chamrejea mpinzani wa hadithi aitwaye Sauron; yeye alikuwa ameumba Pete Kuu ili kutawala Dunia ya Kati nzima. Hadithi ya kitabu yasimulia jinsi mashujaa wanavyompigania Sauron vita. Baadhi ya mashujaa hasa ni wahobiti wanne: Frodo Baggins, Samwise Gamgee (Sam), Meriadoc Brandybuck (Merry) na Peregrin Took (Pippin).

Makala hii kuhusu kitabu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bwana wa Mapete kama Mwandishi wake, hadithi au matoleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA