Kabla ya Kristo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza la:Ante Christum natum
d Roboti: Imeongeza ca:Abans de Crist
Mstari 9: Mstari 9:
[[Category:Kalenda]]
[[Category:Kalenda]]


[[ca:Abans de Crist]]
[[de:V. Chr.]]
[[de:V. Chr.]]
[[en:Ante Christum Natum]]
[[en:Ante Christum Natum]]

Pitio la 07:12, 20 Julai 2012

Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka.

Hesabu hii imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani siku hizi. Kila mwaka huhesabiwa kuanzia mwaka unaodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake Kristo. Miaka iliyofuata baada ya kuzaliwa kwake huitwa Baada ya Kristo au kifupi: BK.

Kuhusu historia ya hesabu hii tazama: Historia ya Hesabu "Kabla ya / Baada ya Kristo"