Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
iw he
Mstari 20: Mstari 20:
[[et:Idaslaavi keeled]]
[[et:Idaslaavi keeled]]
[[fi:Itäslaavilaiset kielet]]
[[fi:Itäslaavilaiset kielet]]
[[he:שפות סלאביות מזרחיות]]
[[hr:Istočnoslavenski jezici]]
[[hr:Istočnoslavenski jezici]]
[[hsb:Wuchodosłowjanske rěče]]
[[hsb:Wuchodosłowjanske rěče]]
[[hu:Keleti szláv nyelvek]]
[[it:Lingue slave orientali]]
[[it:Lingue slave orientali]]
[[he:שפות סלאביות מזרחיות]]
[[ja:東スラヴ語群]]
[[ja:東スラヴ語群]]
[[ko:동슬라브어군]]
[[ko:동슬라브어군]]
Mstari 32: Mstari 33:
[[sr:Источнословенски језици]]
[[sr:Источнословенски језици]]
[[sv:Östslaviska språk]]
[[sv:Östslaviska språk]]
[[zh:东斯拉夫语支]]

Pitio la 14:44, 29 Septemba 2007

Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi

Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelarus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.

Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.

Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.