Gloria Macapagal Arroyo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Gloria Macapagal Arroyo
(Hakuna tofauti)

Pitio la 13:38, 28 Septemba 2007

Rais wa Ufilipino Gloria Macapagal Arroyo

Gloria Macapagal Arroyo (Amezaliwa Tar. 5 Aprili, 1947) Pia anafamika kwa jian la ufupi kama G.M.A, Ni rais wa 14 wa Ufilipino, Ambaye kwa sasa ndiye anae ongoza nchi ya Ufilipino. Ni rais wa pili wa kike kuongoza nchi ya Ufilipino baada ya Corazon Aquino. Pia ni binti wa rais wa zamani wa Ufilipini mzee Diosdado Macapagal. Kabla ya kuwa rais, mwanzoni alikuwa makamo wa rais wa Ufilipino.