William Golding : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: vi:William Golding
Mstari 47: Mstari 47:
[[ta:வில்லியம் கோல்டிங்]]
[[ta:வில்லியம் கோல்டிங்]]
[[tr:William Golding]]
[[tr:William Golding]]
[[vi:William Golding]]
[[zh:威廉·戈尔丁]]
[[zh:威廉·戈尔丁]]

Pitio la 14:30, 27 Septemba 2007

William Gerald Golding (19 Septemba, 191119 Juni, 1993) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya, kwa mfano "Bwana wa Nzi" (kwa Kiingereza Lord of the Flies) iliyotolewa mwaka wa 1954. Mwaka wa 1983 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Mwaka wa 1988 alipewa cheo cha Sir cha Uingereza.