Pembenyingi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza vec:Połigono
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza id:Poligon
Mstari 55: Mstari 55:
[[hu:Sokszög]]
[[hu:Sokszög]]
[[hy:Բազմանկյուն]]
[[hy:Բազմանկյուն]]
[[id:Poligon]]
[[io:Poligono]]
[[io:Poligono]]
[[it:Poligono]]
[[it:Poligono]]

Pitio la 12:20, 3 Julai 2012

Pembenyingi (pia: poligoni) ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi.

Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao.

Katika jiometria ya tambarare pembenyingi sahili kabisa ni pembetatu.

Pembenyingi sahili haina mistari inayopandana. Ikipandana huitwa pembenyingi tata.

Mifano ya pembenyingi

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pembenyingi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.