Chui (Pantherinae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imebadilisha: ar:نمرية
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza bg:Ръмжащи котки
Mstari 64: Mstari 64:
[[ar:نمرية]]
[[ar:نمرية]]
[[az:Böyük pişiklər]]
[[az:Böyük pişiklər]]
[[bg:Ръмжащи котки]]
[[br:Pantherinae]]
[[br:Pantherinae]]
[[ca:Panterí]]
[[ca:Panterí]]

Pitio la 10:05, 3 Julai 2012

Chui
Chui-theluji
Chui-theluji
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbuai)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Pantherinae (Wanyama wanaofanana na chui)
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Chui ni wanyama mbuai wakubwa wa nusufamilia Pantherinae katika familia Felidae. Isipokuwa spishi moja (simba), wanyama hawa wana madoa au milia. Spishi nyingi zinatokea misitu au maeneo mengine yenye miti katika Afrika, Asia na Amerika, nyingine zinatokea savana na hata milima.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Kigezo:Link FA