Ansgar Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza pt:Ansgário de Hamburgo
Mstari 65: Mstari 65:
[[no:Ansgar]]
[[no:Ansgar]]
[[pl:Ansgar (biskup)]]
[[pl:Ansgar (biskup)]]
[[pt:Ansgário de Hamburgo]]
[[ro:Oscar (sfânt)]]
[[ro:Oscar (sfânt)]]
[[ru:Ансгар]]
[[ru:Ансгар]]

Pitio la 15:27, 2 Julai 2012

Mtakatifu Ansgar (labda 8 Septemba 8013 Februari 865) alikuwa askofu kutoka Ufaransa.

Ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni 3 Februari.

Maisha

Ansgar alizaliwa Amiens (Ufaransa) mwanzoni mwa karne ya 9.

Alisoma katika monasteri huko Corbie.

Mwaka 826 alienda kuhubiri Injili nchini Denmark, ambako hakufanikisha sana, hivyo akaenda Uswidi.

Aliteuliwa kuwa Askofu wa Hamburg, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Pia alikuwa balozi wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi.

Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya uenezazi Injili, lakini hakukata tamaa.

Alikufa huko Bremen (Ujerumani) mwaka 865.

Tazama pia

Marejeo

  • Pryce, Mark. Literary Companion to the Festivals: A Poetic Gathering to Accompany Liturgical Celebrations of Commemorations and Festivals. Minneapolis: Fortress Press, 2003.
  • Tschan, Francis J. History of the Archbishops of Hamburg-Bremen. New York: Columbia University Press, 1959.
  • Wood, Ian. The Missionary Life: Saints and the Evangelisation of Europe, 400 – 1050. Great Britain: Longman, 2001.
  • Life of Ansgar

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.