Owen Chamberlain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: nn:Owen Chamberlain |
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza be:Оўэн Чэмберлен |
||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
[[ar:أوين تشمبرلين]] |
[[ar:أوين تشمبرلين]] |
||
[[be:Оўэн Чэмберлен]] |
|||
[[bg:Оуен Чембърлейн]] |
[[bg:Оуен Чембърлейн]] |
||
[[bn:ওয়েন চেম্বারলেইন]] |
[[bn:ওয়েন চেম্বারলেইন]] |
Pitio la 04:45, 1 Julai 2012
Owen Chamberlain (10 Julai, 1920 – 28 Februari, 2006) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini na kugundua vipande vingi vya atomu.
Mwaka wa 1959, pamoja na Emilio Segre alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Owen Chamberlain kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |