Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza hr:Sjeverni sotho jezik |
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza az:Şimali Soto dili |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
[[af:Noord-Sotho]] |
[[af:Noord-Sotho]] |
||
[[az:Şimali Soto dili]] |
|||
[[br:Sothoeg an norzh]] |
[[br:Sothoeg an norzh]] |
||
[[de:Nord-Sotho]] |
[[de:Nord-Sotho]] |
Pitio la 23:26, 24 Juni 2012
Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |