Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza hr:Sjeverni sotho jezik
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza az:Şimali Soto dili
Mstari 12: Mstari 12:


[[af:Noord-Sotho]]
[[af:Noord-Sotho]]
[[az:Şimali Soto dili]]
[[br:Sothoeg an norzh]]
[[br:Sothoeg an norzh]]
[[de:Nord-Sotho]]
[[de:Nord-Sotho]]

Pitio la 23:26, 24 Juni 2012

Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.