Kwanza (sarafu) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza vep:Angolan kvanz
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza hr:Angolska kvanza
Mstari 30: Mstari 30:
[[fr:Kwanza (monnaie)]]
[[fr:Kwanza (monnaie)]]
[[he:קוואנזה (מטבע)]]
[[he:קוואנזה (מטבע)]]
[[hr:Angolska kvanza]]
[[hu:Angolai kwanza]]
[[hu:Angolai kwanza]]
[[it:Kwanza angolano]]
[[it:Kwanza angolano]]

Pitio la 22:50, 23 Juni 2012

Makala hii yahusu pesa ya Angola. Kuhusu mto Kwanza angalia Kwanza (mto).

Kwanza (kifupi: KZ) ni pesa inayotumika kwa malipo halali katika nchi ya Angola. Wakati wa uhuru Angloa imerithi pesa ya escudo kutoka Ureno. Mwaka 1977 Kwanza yenye 100 Lwei imeingizwa nchini kama pesa ya kwanza ya kitaifa. Kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha mara kwa mara pesa ya Kwanza imebadilishwa mara nne tangu 1977:

  • 1977 Kwanza
  • 1977 Kwanza Novo (Kwanza Mpya)
  • 1995 Kwanza Reajustado (Kwanza iliyosahihishwa)
  • 1999 Kwanza (Kwanza Reajustado milioni moja zilibadilishwa kuwa Kwanza 1 mpya)

Sarafu za centavos 10 na 50 hazipatikani kwani hazinunui kitu tena.

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kwanza (sarafu) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.