Boris Leonidovich Pasternak : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 54: Mstari 54:
[[ta:போரிஸ் பாஸ்ரர்நாக்]]
[[ta:போரிஸ் பாஸ்ரர்நாக்]]
[[tr:Boris Pasternak]]
[[tr:Boris Pasternak]]
[[uk:Пастернак Борис Леонідович]]
[[vi:Boris Leonidovich Pasternak]]
[[vi:Boris Leonidovich Pasternak]]
[[zh:鮑里斯·巴斯特納克]]
[[zh:鮑里斯·巴斯特納克]]

Pitio la 01:21, 25 Septemba 2007

Faili:Pasternak.jpg
Boris Pasternak

Boris Leonidovich Pasternak (10 Februari, 189030 Mei, 1960) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Ingawa aliandika mashairi kwa ujumla, anajulikana hasa kwa riwaya yake "Daktari Zhivago" iliyotolewa mwaka wa 1956. Mwaka wa 1958 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi lakini aliikataa kwa sababu ya upinzani katika nchi yake.