Adalbert wa Magdeburg : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza sh:Adalbert od Magdeburga
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza ca:Adalbert de Magdeburg
Mstari 41: Mstari 41:
{{mbegu-Mkristo}}
{{mbegu-Mkristo}}


[[ca:Adalbert de Magdeburg]]
[[de:Adalbert von Magdeburg]]
[[de:Adalbert von Magdeburg]]
[[en:Adalbert (Archbishop of Magdeburg)]]
[[en:Adalbert (Archbishop of Magdeburg)]]

Pitio la 11:39, 19 Juni 2012

Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg

Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg (na Adalbert wa Magdeburg) (alifariki tarehe 20 Juni, 981) alikuwa mmisionari na askofu mkuu wa kwanza wa mji wa Magdeburg, Ujerumani.

Ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 20 Juni.

Maisha

Adalbert alizaliwa Ujerumani na kuwa mtawa katika monasteri ya Wabenedikto wa mji wa Trier.

Baada ya kuwekwa wakfu kama askofu, mwaka 961 alitumwa mjini Kiev (Ukraine) kama mmisionari.

Kundi lake lote liliuawa, naye peke yake aliweza kurudi Ujerumani.

Baadaye aliteuliwa kuwa askofu mkuu wa dayosisi ya Magdeburg.

Alianzisha madayosisi mapya mengi upande wa Mashariki wa Ujerumani, kama katika miji ya Naumburg, Meisen, Merseburg, Brandenburg, Havelberg, na Poznan.

Mwanafunzi wake mmoja aliyetangazwa kuwa mtakatifu kama yeye ni Adalbert wa Praha.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.