Bou Regreg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d robot Modifying: nl:Bouregreg |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
[[fa:ابی رقراق]] |
[[fa:ابی رقراق]] |
||
[[fr:Bouregreg]] |
[[fr:Bouregreg]] |
||
[[nl: |
[[nl:Bouregreg]] |
||
[[pl:Wadi Bu Raghragh]] |
[[pl:Wadi Bu Raghragh]] |
Pitio la 06:59, 24 Septemba 2007
Chanzo | Jebel Mtourzgane kwenye Milima ya Atlas |
Mdomo | Atlantiki kwa miji ya Rabat na Sale |
Nchi | Moroko |
Urefu | 240 km |
Kimo cha chanzo | 1627 m |
Mkondo | kawaida 23 m³/s, hadi 1500 m³/s kutegemeana na majira na kiasi cha mvua njiani |
Eneo la beseni | 10,000 km² |
Bouregreg (Kiarabu أبورقراق ou abou rāqrāq) ni mto wa Moroko mwenye urefu wa 240 km. Chanzo chake ni katika milima ya Atlas karibu na mlima wa Jebel Mtourzgane kwenye kimo cha 1627 m juu ya UB. Mdomo uko kati ya mji ya Rabat na Sale. Pande zote mbili za mdomo wa mto palikuwa eneo la Jamhuri ya Bou Regreg iliyojumlisha mjiji ya Rabat na Sale.
Bouregreg ni kati ya mito mikubwa wa Moroko.