Babeldaob : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Badiliko: pl:Babeldaob
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza id:Babeldaob; cosmetic changes
Mstari 6: Mstari 6:
Maadam visiwa vingine vya Palau ni tambarare kabisa Babeldoab kuna mlima Ngerchelchuus mwenye kimo cha mita 242.
Maadam visiwa vingine vya Palau ni tambarare kabisa Babeldoab kuna mlima Ngerchelchuus mwenye kimo cha mita 242.


Kwenye mkoa wa [[Airai]] upande wa kusini upo uwanja wa ndege wa kimataifa.
Kwenye mkoa wa [[Airai]] upande wa kusini upo uwanja wa ndege wa kimataifa.




[[Jamii:Palau]]
[[Jamii:Palau]]
Mstari 22: Mstari 20:
[[gl:Babeldaob]]
[[gl:Babeldaob]]
[[hr:Babeldaob]]
[[hr:Babeldaob]]
[[id:Babeldaob]]
[[it:Babeldaob]]
[[it:Babeldaob]]
[[ja:バベルダオブ島]]
[[ja:バベルダオブ島]]

Pitio la 19:39, 16 Juni 2012

Kisiwa cha Babeldaob / Babelthuap kwenye kaskazini ya Palau

Babeldaob (pia Babelthuap) ni kisiwa kikubwa cha nchi ya visiwani ya Palau. Eneo lake ni 331 km² au asilimia 70 ya eneo lote la taifa.

Kisiwani kuna mji mkuu wa Melekeok na tisa kati ya mikoa 16 ya Palau.

Maadam visiwa vingine vya Palau ni tambarare kabisa Babeldoab kuna mlima Ngerchelchuus mwenye kimo cha mita 242.

Kwenye mkoa wa Airai upande wa kusini upo uwanja wa ndege wa kimataifa.