Hua : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza no:Streptopelia
Mstari 100: Mstari 100:
[[it:Streptopelia]]
[[it:Streptopelia]]
[[nl:Streptopelia]]
[[nl:Streptopelia]]
[[no:Streptopelia]]
[[pcd:Toertréle]]
[[pcd:Toertréle]]
[[pl:Streptopelia]]
[[pl:Streptopelia]]

Pitio la 10:28, 14 Juni 2012

Hua
Hua kijivucheusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Columbiformes (Ndege kama njiwa)
Familia: Columbidae (Ndege walio na mnasaba na njiwa)
Jenasi: Macropygia Swainson, 1837

Nesoenas Salvadori, 1893
Reinwardtoena Bonaparte, 1854
Spilopelia Sundevall, 1873
Streptopelia Bonaparte, 1855
Turacoena Bonaparte, 1854

Spishi: Angalia katiba

Hua ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Columbidae. Spishi nyingine huitwa tetere, kuyu au fumvu. Wana rangi kijivu, kahawia na nyupe na spishi nyingi zina rangi pinki. Jenasi ya Streptopelia inatoka Afrika lakini spishi kadhaa zimeingia Ulaya na Asia. Hua mkufu wa Ulaya na hua madoa (Spotted Dove) wamewasilishwa katika Marekani. Hua hula mbegu, matunda, mimea na pengine wadudu. Hulijenga tago lao la vijiti kwa miti au miwamba au ardhini kati ya manyasi. Jike huyataga mayai mawili kwa kawaida.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha