Mkoa wa Denizli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza tl:Denizli Province |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: tl:Lalawigan ng Denizli |
||
Mstari 96: | Mstari 96: | ||
[[tg:Вилояти Денизли]] |
[[tg:Вилояти Денизли]] |
||
[[tk:Denizli (il)]] |
[[tk:Denizli (il)]] |
||
[[tl: |
[[tl:Lalawigan ng Denizli]] |
||
[[tr:Denizli (il)]] |
[[tr:Denizli (il)]] |
||
[[ug:دېنىزلى ۋىلايىتى]] |
[[ug:دېنىزلى ۋىلايىتى]] |
Pitio la 07:48, 14 Juni 2012
Mkoa wa Denizli | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Denizli nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Aegean |
Eneo: | 11,868 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 907,558 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 20 |
Kodi ya eneo: | 0258 |
Tovuti ya Gavana | http://www.denizli.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/denizli |
Denizli ni jina la kutaja moja kati ya Mikoa ya Uturuki uliopo mjini magharibi mwa Anatolia, nyanda za juu katika pwani ya Bahari ya Aegean. Mikoa ya karibu kabisa na mjini hapa ni pamoja na Uşak kwa upande wa kaskazini, Burdur, Isparta, Afyon kwa upande wa mashariki, Aydın, Manisa kwa upande wa magharibi na Muğla kwa upande wa kusini. Mji upo kati ya ramani hizi za kijiografia 28° 30’ na 29° 30’ E na 37° 12’ na 38° 12’ N. Unachukua eneo za kilomita za mraba zipatazo 11,868, na idadi ya wakazi wapatao 882,938. Hapo awali idadi ya wakazi wa hapa ilikuwa 750,882 kunako miaka ya 1990. Mji mkuu wake ni Denizli.
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Denizli umeganyika katika wilaya 19 (mji mkuu umekoozeshwa):
Viungo vya Nje
- Denizli Governorship official website (Kiingereza)
- Denizli Municipality official website (Kituruki)
- Map of Denizli
- Satellite view (Kituruki)
- The Rooster Cock of Denizli
- Denizli Weather Forecast Information (Kiingereza)
- Denizli Telephone Address Book, Guide
Wikimedia Commons ina media kuhusu: