Hipparchos wa Nikaia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza eu:Hiparko Nizeakoa |
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza tr:Hipparkos |
||
Mstari 62: | Mstari 62: | ||
[[th:ฮิปปาร์คัส]] |
[[th:ฮิปปาร์คัส]] |
||
[[tl:Hiparco]] |
[[tl:Hiparco]] |
||
[[tr:Hipparkos]] |
|||
[[uk:Гіппарх]] |
[[uk:Гіппарх]] |
||
[[zh:喜帕恰斯]] |
[[zh:喜帕恰斯]] |
Pitio la 00:22, 14 Juni 2012
Hipparchos (Kigiriki Ἵππαρχος; takr. 190 KK hadi takr. 120 KK) alikuwa mtaalamu wa astronomia, jiografia na hisabati wa Ugiriki ya Kale.
Alizaliwa mjini Nikaia (leo: Iznik katika Uturuki) akafariki kwenye kisiwa cha Rhodos. Hutazamiwa kama mwanaastronomia muhimu kabisa wa nyakati za kale.
Aliorodhesha nyota 800 na kuzichora katika ramani ya anga. Aliweza kukadiria kupatwa kwa jua na kukutabiri.
Katika hisabati alianzisha mbinu za kijiometria kwa mfano mgawanyo wa duara kuwa na nyuzi 360.