Afro-Shirazi Party : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza fa:حزب آفرو-شیرازی
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza no:Afro-Shirazi Party
Mstari 13: Mstari 13:
[[it:Partito Afro-Shirazi]]
[[it:Partito Afro-Shirazi]]
[[nl:Afro-Shirazi Partij]]
[[nl:Afro-Shirazi Partij]]
[[no:Afro-Shirazi Party]]
[[sv:Afro-Shirazi Party]]
[[sv:Afro-Shirazi Party]]

Pitio la 20:01, 13 Juni 2012

Afro-Shirazi Party (kifupisho: ASP) ilikuwa chama cha siasa kisiwani kwa Zanzibar. Ilianzishwa wakati vyama viwili vingine, yaani Shiraz Party ya Waajemi na Afro Party ya Waafrika, vilipoungana. Uanzishaji wa chama hilo ukasababisha uondoaji wa Waarabu kutoka utawala wa Zanzibar katika mapinduzi ya mwaka wa 1964. Mwaka wa 1977, ASP ilijiunga na TANU kuwa Chama cha Mapinduzi.