Wikipedia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeondoa: nv:Íiyisíí Naaltsoos |
d r2.7.2) (Roboti: Imebadilisha: ext:Wikipedia |
||
Mstari 70: | Mstari 70: | ||
[[et:Vikipeedia]] |
[[et:Vikipeedia]] |
||
[[eu:Wikipedia]] |
[[eu:Wikipedia]] |
||
[[ext: |
[[ext:Wikipedia]] |
||
[[fa:ویکیپدیا]] |
[[fa:ویکیپدیا]] |
||
[[ff:Wikipeediya]] |
[[ff:Wikipeediya]] |
Pitio la 10:03, 8 Juni 2012
Wikipedia ni kamusi elezo huru ya lugha nyingi katika mtandao. Inatumia taratibu wa wikiwiki. Ni bure kabisa, na inaweza kusomwa, kuandikwa, na kuhaririwa na mtu yeyote, popote pale. Yaani kila mtu anaweza kuchangia makala au kuwa na uhuru wa kuboresha makala zilizopo kwa kuzihariri.
Kamusi hii inajengwa kwa utaratibu huria ambao umejengwa juu ya falsafa ya ushirikiano inayokuwa kwa kasi. Falsafa hii inaonekana katika vuguvugu la programu huria ya tarakilishi, mikutano huria, demokrasia huria, n.k.
Historia
Wikipedia ilianzishwa kwa Kiingereza mwezi wa kwanza mwaka 2001. Mwaka 2003 kamusi elezo hii ilianzishwa katika lugha ya Kiswahili.
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |