Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: kk:Шаршы километр |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza xmf:კვადრატული კილომეტრი |
||
Mstari 108: | Mstari 108: | ||
[[vo:Kvadamilmet]] |
[[vo:Kvadamilmet]] |
||
[[wa:Kilomete cwåré]] |
[[wa:Kilomete cwåré]] |
||
[[xmf:კვადრატული კილომეტრი]] |
|||
[[zea:Vierkante kilemeter]] |
[[zea:Vierkante kilemeter]] |
||
[[zh:平方千米]] |
[[zh:平方千米]] |
Pitio la 10:47, 4 Juni 2012
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047