Samsun : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeondoa: cbk-zam:Samsun (deleted)
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza sh:Samsun
Mstari 61: Mstari 61:
[[ru:Самсун]]
[[ru:Самсун]]
[[rw:Samsun]]
[[rw:Samsun]]
[[sh:Samsun]]
[[sv:Samsun]]
[[sv:Samsun]]
[[th:ซัมซุน]]
[[th:ซัมซุน]]

Pitio la 23:54, 3 Juni 2012

Samsun ni jina la mji uliopo kaskazini mwa nchi ya Uturuki. Mji upo katika pwani ya Bahari Nyeusi, ukiwa na idadi ya wakazi takriban 725,111 kama jinsi ilivyohesabiwa katika mwaka wa 2007. Huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Samsun na ni bandari muhimu kabisa mjini hapa.

Mji huu wa Samsun ulianzishwa na wakoloni kama Amisos (tahajia zingine ni Amisus, Eis Amison - maana ya amisos imechukua jina la Samsunta au Samsus (Eis Amison - Samson - Samsounta).[1]

Marejeo

  1. Özhan Öztürk. Karadeniz: Ansiklopedik Sözlük (Blacksea: Encyclopedic Dictionary). 2 Cilt (2 Volumes). Heyamola Publishing. Istanbul.2005 ISBN 975-6121-00-9

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: