Adalbert wa Prague : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: sk:Vojtech Pražský; cosmetic changes
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza sh:Vojtjeh Praški
Mstari 47: Mstari 47:
[[pt:Adalberto de Praga]]
[[pt:Adalberto de Praga]]
[[ru:Адальберт Пражский]]
[[ru:Адальберт Пражский]]
[[sh:Vojtjeh Praški]]
[[sk:Vojtech Pražský]]
[[sk:Vojtech Pražský]]
[[sl:Sveti Adalbert Praški]]
[[sl:Sveti Adalbert Praški]]

Pitio la 08:31, 27 Mei 2012

Adalbert wa Prague

Adalbert wa Prague (kwa Kicheki Vojtěch, kwa Kipolandi Wojciech, kwa Kijerumani Adalbert) alizaliwa Libice takriban mwaka 956 – akauawa tarehe 23 Aprili, 997) akiwa askofu mmisionari katika mji wa Prague (Ucheki).

Mwaka 999 alitangazwa kuwa mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 23 Aprili.

Marejeo

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.