New York (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza zu:New York Isifunda |
d Roboti: Imebadilisha: yo:Ìpínlẹ̀ New York |
||
Mstari 181: | Mstari 181: | ||
[[xal:Шин Йорк]] |
[[xal:Шин Йорк]] |
||
[[yi:ניו יארק]] |
[[yi:ניו יארק]] |
||
[[yo: |
[[yo:Ìpínlẹ̀ New York]] |
||
[[zh:纽约州]] |
[[zh:纽约州]] |
||
[[zh-min-nan:New York]] |
[[zh-min-nan:New York]] |
Pitio la 19:29, 11 Mei 2012
New York | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Albany | ||
Eneo | |||
- Jumla | 141,299 km² | ||
- Kavu | 122,238 km² | ||
- Maji | 19,016 km² | ||
Tovuti: http://www.ny.gov/ |
New York ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko kwenye pwani la kaskazini-mashariki ya nchi ikipakana na majimbo ya Pennsylvania, Vermont, Massachusetts, Connecticut na New Jersey halafu nchi jirani ya Kanada.
Mji mkuu ni Albany lakini mji mkubwa ni New York.
Jimbo lina wakazi 19,254,630 kwenye eneo la 141,205 km².
Mto mkubwa ni Mto Hudson.
Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.
Marejeo
New York census data kutoka Factfinder.census.gov
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya New York bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu New York (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |