Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza kv:Войвыв сото (кыв) |
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: yo:Èdè Apáàríwá Sotho |
||
Mstari 40: | Mstari 40: | ||
[[vi:Tiếng Bắc Sotho]] |
[[vi:Tiếng Bắc Sotho]] |
||
[[xh:IsiPedi]] |
[[xh:IsiPedi]] |
||
[[yo:Èdè |
[[yo:Èdè Apáàríwá Sotho]] |
Pitio la 10:02, 11 Mei 2012
Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |