Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d +Jamii |
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza kv:Войвыв сото (кыв) |
||
Mstari 23: | Mstari 23: | ||
[[it:Lingua sotho del nord]] |
[[it:Lingua sotho del nord]] |
||
[[ja:北ソト語]] |
[[ja:北ソト語]] |
||
[[kv:Войвыв сото (кыв)]] |
|||
[[lt:Šiaurės Soto kalba]] |
[[lt:Šiaurės Soto kalba]] |
||
[[mn:Хойд Сото хэл]] |
[[mn:Хойд Сото хэл]] |
Pitio la 12:32, 7 Mei 2012
Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |