Kiluba-Kasai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d →‎Viungo vya nje: +jamii using AWB
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza kv:Луба (кыв)
Mstari 21: Mstari 21:
[[ja:ルバ語]]
[[ja:ルバ語]]
[[ko:루바어]]
[[ko:루바어]]
[[kv:Луба (кыв)]]
[[ln:Ciluba]]
[[ln:Ciluba]]
[[nl:Tshiluba]]
[[nl:Tshiluba]]

Pitio la 18:23, 5 Mei 2012

Kiluba-Kasai ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Waluba-Kasai. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiluba-Kasai kiko katika kundi la L30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiluba-Kasai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.