Albert Schweitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: kk:Альберт Швейцер |
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza lv:Alberts Šveicers |
||
Mstari 48: | Mstari 48: | ||
[[ku:Albert Schweitzer]] |
[[ku:Albert Schweitzer]] |
||
[[la:Albertus Schweitzer]] |
[[la:Albertus Schweitzer]] |
||
[[lv:Alberts Šveicers]] |
|||
[[mk:Алберт Швајцер]] |
[[mk:Алберт Швајцер]] |
||
[[ml:ആൽബർട്ട് ഷ്വൈറ്റ്സർ]] |
[[ml:ആൽബർട്ട് ഷ്വൈറ്റ്സർ]] |
Pitio la 08:22, 5 Mei 2012
Albert Schweitzer (14 Januari, 1875 – 4 Septemba, 1965) alikuwa mwanateolojia, mwanafalsafa, mwanamuziki na daktari kutoka eneo la Alsatia, ambalo lilikuwa sehemu ya Ujerumani kabla ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, lakini la Ufaransa baadaye. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobeli ya Amani kwa ajili ya falsafa yake. Hasa anajulikana kwa kuanzisha na kuongoza kituo cha kimisionari na hospitali eneo la Lambarene nchini Gabon.