Nasaba ya Han : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (Roboti: Imebadilisha: ta:ஆன் அரசமரபு
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza yi:האן דינאסטיע
Mstari 89: Mstari 89:
[[vi:Nhà Hán]]
[[vi:Nhà Hán]]
[[war:Dinastiya Han]]
[[war:Dinastiya Han]]
[[yi:האן דינאסטיע]]
[[za:Hanciuz]]
[[za:Hanciuz]]
[[zh:汉朝]]
[[zh:汉朝]]

Pitio la 15:46, 1 Mei 2012

Eneo la utawala wa Han katika Uchina

Nasaba ya Han (Kichina cha asili: 漢朝 ; Kichina rahisi: 汉朝; Hanyu Pinyin: Hàn cháo; Wade-Giles: Han Ch'au; 206 KK – 220 BK) ilifuata utawala wa nasaba ya Qin, na ilitangulia Dola Tatu katika Uchina. Utawala huu ulianzishwa na familia maarufu iliyofahamika kama Ukoo wa Liu.

Watu wa China huhesabu nasaba ya Han iliyodumu kwa karne nne kuwa moja ya vipindi vikuu katika historia yote ya nchi. Hivyo, watu wa jamii kubwa ya China hujihesabu mpaka leo “watu wa Han”, kwa heshima ya familia ya Han na utawala waliouanzisha.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA