Afro-Shirazi Party : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Badiliko: fr:Parti Afro-Shirazi
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza fa:حزب آفرو-شیرازی
Mstari 9: Mstari 9:
[[el:Κόμμα Αφρο-Σιράζι]]
[[el:Κόμμα Αφρο-Σιράζι]]
[[en:Afro-Shirazi Party]]
[[en:Afro-Shirazi Party]]
[[fa:حزب آفرو-شیرازی]]
[[fr:Parti Afro-Shirazi]]
[[fr:Parti Afro-Shirazi]]
[[it:Partito Afro-Shirazi]]
[[it:Partito Afro-Shirazi]]

Pitio la 22:42, 25 Aprili 2012

Afro-Shirazi Party (kifupisho: ASP) ilikuwa chama cha siasa kisiwani kwa Zanzibar. Ilianzishwa wakati vyama viwili vingine, yaani Shiraz Party ya Waajemi na Afro Party ya Waafrika, vilipoungana. Uanzishaji wa chama hilo ukasababisha uondoaji wa Waarabu kutoka utawala wa Zanzibar katika mapinduzi ya mwaka wa 1964. Mwaka wa 1977, ASP ilijiunga na TANU kuwa Chama cha Mapinduzi.