Kwarara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza fa:اکراس
Mstari 102: Mstari 102:
[[eo:Ibisoj]]
[[eo:Ibisoj]]
[[es:Threskiornithinae]]
[[es:Threskiornithinae]]
[[fa:اکراس]]
[[fr:Ibis (oiseau)]]
[[fr:Ibis (oiseau)]]
[[ga:Íbis]]
[[ga:Íbis]]

Pitio la 11:16, 25 Aprili 2012

Kwarara
Kwarara shingo-nyeusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Pelecaniformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Threskiornithidae (Ndege walio na mnasaba na kwarara)
Nusufamilia: Threskiornithinae (Ndege walio na mnasaba na kwarara)
Jenasi: Bostrychia G.R. Gray, 1847

Cercibis Wagler, 1832
Eudocimus Wagler, 1832
Geronticus Wagler, 1832
Lophotibis Reichenbach, 1853
Mesembrinibis J.L. Peters, 1930
Nipponia Reichenbach, 1853
Phimosus Wagler, 1832
Plegadis Kaup, 1829
Pseudibis Hodgson, 1844
Thaumatibis Elliot, 1877
Theristicus Wagler, 1832
Threskiornis G.R. Gray, 1842

Kwarara ni ndege wa nusufamilia Threskiornithinae katika familia Threskiornithidae ambao wana miguu mirefu. Domo refu lao limepindika na hutumika kwa kutafuta chakula ndani ya matope. Spishi nyingi za kwarara huweka matago yao juu ya miti, kwa kawaida pamoja na yange, koikoi au domomwiko. Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha