Ponsyo Pilato : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza be-x-old:Понці Пілат
d r2.7.1) (Roboti: Imebadilisha: be-x-old:Понтыюс Пілат
Mstari 15: Mstari 15:
[[arz:بيلاطس البنطى]]
[[arz:بيلاطس البنطى]]
[[be:Понцій Пілат]]
[[be:Понцій Пілат]]
[[be-x-old:Понці Пілат]]
[[be-x-old:Понтыюс Пілат]]
[[bg:Пилат Понтийски]]
[[bg:Пилат Понтийски]]
[[ca:Ponç Pilat]]
[[ca:Ponç Pilat]]

Pitio la 13:33, 14 Aprili 2012

Ecce Homo, mchoro wa Antonio Ciseri unaoonyesha Ponsyo Pilato alivyomtambulisha Yesu kwa watu wa Yerusalemu baada ya kumpiga mijeledi

Ponsyo Pilato (kwa Kilatini Pontius Pilatus; kwa Kigiriki Πόντιος Πιλᾶτος; kwa Kiebrania פונטיוס פילאטוס; alikuwa liwali wa Palestina katika miaka 26-36.

Anajulikana kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hasa kwa sababu ya Injili kumtaja kama hakimu aliyempeleka Yesu kuuawa msalabani.

Kanisa la Ethiopia linafuata hadithi ya kwamba aliongoka, hivyo linamheshimu kama mtakatifu.

Kadiri ya mapokeo mengine, alijiua.