Musoma (mji) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 22: | Mstari 22: | ||
* <references/> |
* <references/> |
||
[[Kigezo:Kata za Manispaa ya Musoma]] |
[[Kigezo:Kata za Manispaa ya Musoma]] ni Buhare | Bweri | Iringo | Kamunyonge | Kigera | Kitaji | Makoko | Mukendo | Mwigobero | Mwisenge | Nyakato | Nyamatare | Nyasho |
||
{{mbegu-jio-mara}} |
{{mbegu-jio-mara}} |
Pitio la 20:00, 13 Aprili 2012
Musoma | |
Mahali pa mji wa Musoma katika Tanzania |
|
Majiranukta: 1°29′24″S 33°48′0″E / 1.49000°S 33.80000°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Mara |
Wilaya | Musoma Mjini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 108 242 |
Musoma ni mji wa Tanzania uliopo kando ya mashariki ya Ziwa Viktoria inapakana na Wilaya ya Rorya kwa upande wa Kaskazini. Ni makao makuu ya Mkoa wa Mara. Musoma ina Halmashauri mbili ambazo ni Halmashauri ya Manispaa ya Musoma na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa mji huo ilihesabiwa kuwa 108,242 [1].
Marejeo na Viungo vya Nje
Kigezo:Kata za Manispaa ya Musoma ni Buhare | Bweri | Iringo | Kamunyonge | Kigera | Kitaji | Makoko | Mukendo | Mwigobero | Mwisenge | Nyakato | Nyamatare | Nyasho
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Musoma (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |