Tlaxcala (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: ia:Tlaxcala
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza af:Tlaxcala
Mstari 27: Mstari 27:
[[Jamii:Majimbo ya Mexiko]]
[[Jamii:Majimbo ya Mexiko]]


[[af:Tlaxcala]]
[[an:Tlaxcala]]
[[an:Tlaxcala]]
[[ar:ولاية تلاكسكالا]]
[[ar:ولاية تلاكسكالا]]

Pitio la 11:35, 11 Aprili 2012

Bendera ya Tlaxcala
Mahali pa Tlaxcala katika Mexiko

Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.

Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.

Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa

  1. Vicente Guerrero (55,760)
  2. Apizaco (49,459)
  3. Huamantla (47,286)
  4. Chiautempan (46,776)

Viungo vya Nje



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.