Kisotho-Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: es:Sesotho
d →‎Viungo vya nje: +jamii using AWB
Mstari 8: Mstari 8:
{{DEFAULTSORT:Sotho-Kusini}}
{{DEFAULTSORT:Sotho-Kusini}}
[[Jamii:Lugha za Afrika Kusini]]
[[Jamii:Lugha za Afrika Kusini]]
[[Jamii:Lugha za Kibantu]]


[[af:Suid-Sotho]]
[[af:Suid-Sotho]]

Pitio la 17:51, 9 Aprili 2012

Kisotho-Kusini ni lugha ya Kibantu nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasotho. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kusini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 4,240,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kusini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.