Kiluba-Kasai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: es:Chiluba |
d →Viungo vya nje: +jamii using AWB |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
{{DEFAULTSORT:Luba-Kasai}} |
{{DEFAULTSORT:Luba-Kasai}} |
||
[[Jamii:Lugha za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] |
[[Jamii:Lugha za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] |
||
[[Jamii:Lugha za Kibantu]] |
|||
[[ar:لغة تشيلوبا]] |
[[ar:لغة تشيلوبا]] |
Pitio la 15:38, 7 Aprili 2012
Kiluba-Kasai ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Waluba-Kasai. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiluba-Kasai kiko katika kundi la L30.
Viungo vya nje
- lugha ya Kiluba-Kasai kwenye Multitree
- ramani ya Kiluba-Kasai
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=lua
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiluba-Kasai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |