Kiluba-Kasai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: es:Chiluba
d →‎Viungo vya nje: +jamii using AWB
Mstari 10: Mstari 10:
{{DEFAULTSORT:Luba-Kasai}}
{{DEFAULTSORT:Luba-Kasai}}
[[Jamii:Lugha za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:Lugha za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
[[Jamii:Lugha za Kibantu]]


[[ar:لغة تشيلوبا]]
[[ar:لغة تشيلوبا]]

Pitio la 15:38, 7 Aprili 2012

Kiluba-Kasai ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Waluba-Kasai. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiluba-Kasai kiko katika kundi la L30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiluba-Kasai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.