Yohane IV : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 11: Mstari 11:
[[en:Yohannes IV of Ethiopia]]
[[en:Yohannes IV of Ethiopia]]
[[fr:Yohannès IV d'Éthiopie]]
[[fr:Yohannès IV d'Éthiopie]]
[[he:יוהנס הרביעי]]
[[he:יוהנס הרביעי, קיסר אתיופיה]]
[[it:Giovanni IV d'Etiopia]]
[[it:Giovanni IV d'Etiopia]]
[[pl:Jan IV Kassa]]
[[pl:Jan IV Kassa]]

Pitio la 05:12, 15 Septemba 2007

Yohane IV

Yohannes IV (* 1831 kwa jina la Dejazmach Kassay; † 10 Machi 1889 Metemma, Sudan) alikuwa Ras wa Tigray na Kaisari wa Ethiopia kati ya 18721889. Alimfuata Tewodros II akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia.

1876 aliweza kuzuia mashambulio ya Misri dhidi ya Ethiopia.
Aliuawa katika mapigano ya Metemna dhidi ya jeshi la Al-Mahdi tar. 10 Machi 1889. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye Omdurman.