Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza et:Kolmikpunkt |
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza hi:त्रिगुण बिंदु |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
[[gl:Punto triple]] |
[[gl:Punto triple]] |
||
[[he:נקודה משולשת]] |
[[he:נקודה משולשת]] |
||
[[hi:त्रिगुण बिंदु]] |
|||
[[hr:Trojna točka]] |
[[hr:Trojna točka]] |
||
[[ia:Puncto triple]] |
[[ia:Puncto triple]] |
Pitio la 11:50, 6 Aprili 2012
Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.
Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).
Wikimedia Commons ina media kuhusu: