Ugiriki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (Roboti: Imeongeza map-bms:Yunani Imebadilisha lez:Греция |
d r2.7.1) (roboti Ondoa: map-bms:Yunani |
||
Mstari 73: | Mstari 73: | ||
{{Link FA|vi}} |
{{Link FA|vi}} |
||
{{Link FA|uk}} |
{{Link FA|uk}} |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[ab:Барзентәыла]] |
[[ab:Барзентәыла]] |
||
Mstari 179: | Mstari 182: | ||
[[lad:Gresia]] |
[[lad:Gresia]] |
||
[[lb:Griicheland]] |
[[lb:Griicheland]] |
||
⚫ | |||
[[lg:Buyonaani]] |
[[lg:Buyonaani]] |
||
[[li:Griekeland]] |
[[li:Griekeland]] |
||
Mstari 188: | Mstari 190: | ||
[[ltg:Grekeja]] |
[[ltg:Grekeja]] |
||
[[lv:Grieķija]] |
[[lv:Grieķija]] |
||
[[map-bms:Yunani]] |
|||
[[mdf:Грекмастор]] |
[[mdf:Грекмастор]] |
||
[[mg:Grisy]] |
[[mg:Grisy]] |
||
Mstari 270: | Mstari 271: | ||
[[uz:Yunoniston]] |
[[uz:Yunoniston]] |
||
[[vec:Gresia]] |
[[vec:Gresia]] |
||
⚫ | |||
[[vi:Hy Lạp]] |
[[vi:Hy Lạp]] |
||
[[vls:Grieknland]] |
[[vls:Grieknland]] |
Pitio la 02:01, 6 Aprili 2012
Ugiriki |
---|
Ugiriki (pia: Uyunani; kigir.: Ελλάδα (elada) au Ελλάς (elas) ni nchi ya Ulaya Kusini-Mashariki katika kusini ya rasi ya Balkani. Imepakana na Bulgaria, Jamhuri ya Masedonia, Albania na Uturuki. Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu na Bahari ya Mediteranea. Baharini kuna visiwa vingi sana mabavyo ni sehemu za Ugiriki.
Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu na maarufu sana inaitwa "nchi mama ya Ulaya".
Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000 lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.
Ugiriki ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu 1981.
Viungo vya nje
- (Kiingereza) (Kifaransa) (Kigiriki) Rais wa Ugiriki
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ugiriki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |