Trinidad na Tobago : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza tt:Тринидад һәм Тобаго
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza hsb:Trinidad a Tobago
Mstari 123: Mstari 123:
[[hif:Trinidad and Tobago]]
[[hif:Trinidad and Tobago]]
[[hr:Trinidad i Tobago]]
[[hr:Trinidad i Tobago]]
[[hsb:Trinidad a Tobago]]
[[ht:Trinidad ak Tobago]]
[[ht:Trinidad ak Tobago]]
[[hu:Trinidad és Tobago]]
[[hu:Trinidad és Tobago]]

Pitio la 10:11, 29 Machi 2012

Trinidad na Tobago

Jamhuri ya Trinidad na Tobago ni nchi ya visiwani katika Karibi ya kusini karibu na pwani ya Venezuela kusini kwa kisiwa cha Grenada cha Antili Ndogo. Nchi jirani nyingine kuvukia bahari ni Barbados na Guyana.

Nchi ina eneo la 5,128 km² ambalo karibu lote ni kisiwa kikuu cha Trinidad. Kile cha Tobago kina asilimia 6 tu za eneo pamoja na 4% ya wakazi. Kuna visiwa vidogo vingine 21.

Wakazi wengi wana asili ya India, lakini pia ya Afrika na sehemu nyingine. Hivyo kuna machotara wa aina mbalimbali.

Upande wa dini wengi ni Wakristo.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Trinidad na Tobago kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA