Saint Kitts na Nevis : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza hsb:Saint Kitts a Nevis
Mstari 118: Mstari 118:
[[hif:Saint Kitts and Nevis]]
[[hif:Saint Kitts and Nevis]]
[[hr:Sveti Kristofor i Nevis]]
[[hr:Sveti Kristofor i Nevis]]
[[hsb:Saint Kitts a Nevis]]
[[ht:Sen Kits ak Nevi]]
[[ht:Sen Kits ak Nevi]]
[[hu:Saint Kitts és Nevis]]
[[hu:Saint Kitts és Nevis]]

Pitio la 09:46, 29 Machi 2012

Saint Kitts na Nevis


Ramani ya St. Kitts na Nevis


Saint Kitts na Nevis ni nchi ya visiwani kwenye visiwa viwili katika Bahari ya Karibi na nchi ndogo kabisa ya Amerika yote.

Mji mkuu wa Basseterre uko kwenye kisiwa cha Saint Kitts. Kisiwa kidogo cha Nevis (jina la zamani ya Kihispania: Nuestra Señora de las Nieves) kipo km 3 kusini-mashariki ya Kitts. Zamani pia kisiwa cha anguilla kiliunganishwa na visiwa hivi.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Kitts na Nevis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.