Roseau : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: th:โรโซ
d r2.6.4) (Roboti: Imebadilisha: fa:روسو (دومینیکا)
Mstari 44: Mstari 44:
[[et:Roseau]]
[[et:Roseau]]
[[eu:Roseau]]
[[eu:Roseau]]
[[fa:روسو]]
[[fa:روسو (دومینیکا)]]
[[fi:Roseau]]
[[fi:Roseau]]
[[fr:Roseau (Dominique)]]
[[fr:Roseau (Dominique)]]

Pitio la 12:59, 28 Machi 2012


Jiji la Roseau
Nchi Dominica
Roseau
Faili:Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii.jpg
Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii

Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.

Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Roseau kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.