Pembenyingi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: hy:Բազմանկյուն |
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza ne:बहुभुज |
||
Mstari 70: | Mstari 70: | ||
[[ms:Poligon]] |
[[ms:Poligon]] |
||
[[nds:Veeleck]] |
[[nds:Veeleck]] |
||
[[ne:बहुभुज]] |
|||
[[nl:Veelhoek]] |
[[nl:Veelhoek]] |
||
[[nn:Polygon]] |
[[nn:Polygon]] |
Pitio la 02:34, 20 Machi 2012
Pembenyingi (pia: poligoni) ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi.
Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao.
Katika jiometria ya tambarare pembenyingi sahili kabisa ni pembetatu.
Pembenyingi sahili haina mistari inayopandana. Ikipandana huitwa pembenyingi tata.
Mifano ya pembenyingi
-
Pembetatu pandesawa
-
Mstatili ni hali ya pekee ya pembenne
-
Pembesaba sahili
-
Pembesita sahili
-
Pembetano tata
-
Jinsi gani uso wachorwa katika programu ya tarakishi kwa kutumia pembenyingi
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pembenyingi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |