Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ml:ത്രിക ബിന്ദു
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza et:Kolmikpunkt
Mstari 20: Mstari 20:
[[eo:Triobla punkto]]
[[eo:Triobla punkto]]
[[es:Punto triple]]
[[es:Punto triple]]
[[et:Kolmikpunkt]]
[[fa:نقطه سه‌گانه]]
[[fa:نقطه سه‌گانه]]
[[fi:Kolmoispiste]]
[[fi:Kolmoispiste]]

Pitio la 17:52, 19 Machi 2012

Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.

Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).


Wikimedia Commons ina media kuhusu: