Jimbo la Zürich : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (Roboti: Imeongeza ilo:Kanton iti Zurich
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza lv:Cīrihes kantons
Mstari 58: Mstari 58:
[[ln:Kanton ya Tsúri]]
[[ln:Kanton ya Tsúri]]
[[lt:Ciuricho kantonas]]
[[lt:Ciuricho kantonas]]
[[lv:Cīrihes kantons]]
[[mr:झ्युरिक (राज्य)]]
[[mr:झ्युरिक (राज्य)]]
[[nl:Zürich (kanton)]]
[[nl:Zürich (kanton)]]

Pitio la 22:21, 17 Machi 2012

Mahali pa jimbo la Zürich katika Uswisi

Jimbo la Zürich (Kijerumani: Kanton Zürich) ni jimbo liliopo nchini Uswisi. Jimbo lina wakazi takriban milioni 1.3 (kwa sensa ya mwaka wa 2007).[1] Jimbo lipo upande wa kaskazini-mashariki mwa Uswisi na mji mkuu wake ni Zürich. Lugha rasmi ya jimboni hapa ni Kijerumani, lakini watu waioshio hapa huzungumza lahaja ya lugha ya kienyeji ya Kiswisi Kijerumani iitwayo Züritüütsch.

Tazama pia

Marejeo

  1. Federal Department of Statistics (2008). Ständige Wohnbevölkerung nach Staatsangehörigkeit, Geschlecht und Kantonen (Microsoft Excel). Iliwekwa mnamo November 5, 2008.

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswisi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Zürich kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.