Hasira : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: sr:Bes (emocija)
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza ta:கோபம்
Mstari 62: Mstari 62:
[[sr:Bes (emocija)]]
[[sr:Bes (emocija)]]
[[sv:Vrede]]
[[sv:Vrede]]
[[ta:கோபம்]]
[[te:క్రోధం]]
[[te:క్రోధం]]
[[tl:Poot]]
[[tl:Poot]]

Pitio la 15:24, 15 Machi 2012

Hasira ya Akile dhidi ya Agamemnon ilivyochorwa na Giovanni Battista Tiepolo.
Vilema vikuu

Hasira ni ono linalowapata binadamu na wanyama mbele ya kipingamizi.

Isiporatibiwa na mtu inaweza ikasababisha madhara makubwa, inavyofundisha mithali ya Kiswahili, "Hasira, hasara".

Ndiyo sababu inahesabiwa kati ya vilema vikuu ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.