22 Julai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: bn:জুলাই ২২ |
|||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
* [[1966]] - [[Erick Keter]], mwanariadha kutoka [[Kenya]] |
* [[1966]] - [[Erick Keter]], mwanariadha kutoka [[Kenya]] |
||
* [[1974]] - [[Franka Potente]], mwigizaji filamu kutoka [[Ujerumani]] |
* [[1974]] - [[Franka Potente]], mwigizaji filamu kutoka [[Ujerumani]] |
||
* [[1992]] - [[Selena Gomez]], mwigizaji filamu kutoka [[Marekani]] |
|||
== Waliofariki == |
== Waliofariki == |
Pitio la 07:40, 15 Machi 2012
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Wanahisabati kadhaa duniani husheherekea sikukuu ya Π (tamka: pi) kwa sababu tarehe hii inaweza kuandikwa pia kama 22/7 ambayo ni chamkano cha karibu na namba Π.
Matukio
Waliozaliwa
- 1831 - Komei, Mfalme Mkuu wa 121 wa Japani (1846-1867)
- 1887 - Gustav Hertz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1925)
- 1888 - Selman Waksman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1952)
- 1899 - Sobhuza II, mfalme wa Uswazi
- 1966 - Erick Keter, mwanariadha kutoka Kenya
- 1974 - Franka Potente, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 1992 - Selena Gomez, mwigizaji filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 1676 - Papa Klementi X
- 1908 - Randal Cremer (kiongozi Mwingereza wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1903)
- 1967 - Carl Sandburg, mwandishi na mwanahistoria kutoka Marekani
- 1996 - Vermont Royster, mwandishi wa habari kutoka Marekani
- 2003 - Wahome Mutahi, mwandishi kutoka Kenya