Kisotho-Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: xmf:სოტო ნინა
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: es:Sesotho
Mstari 16: Mstari 16:
[[en:Sotho language]]
[[en:Sotho language]]
[[eo:Sota lingvo]]
[[eo:Sota lingvo]]
[[es:Idioma sesotho]]
[[es:Sesotho]]
[[eu:Sothoera]]
[[eu:Sothoera]]
[[fa:زبان سوتو]]
[[fa:زبان سوتو]]

Pitio la 15:53, 10 Machi 2012

Kisotho-Kusini ni lugha ya Kibantu nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasotho. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kusini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 4,240,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kusini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.