Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: es:Idioma sesotho sa leboa |
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: es:Sesotho sa leboa |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
[[en:Northern Sotho language]] |
[[en:Northern Sotho language]] |
||
[[eo:Peda lingvo]] |
[[eo:Peda lingvo]] |
||
[[es: |
[[es:Sesotho sa leboa]] |
||
[[eu:Pediera]] |
[[eu:Pediera]] |
||
[[fi:Pohjoissothon kieli]] |
[[fi:Pohjoissothon kieli]] |
Pitio la 15:47, 10 Machi 2012
Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |