Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: es:Idioma sesotho sa leboa
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: es:Sesotho sa leboa
Mstari 15: Mstari 15:
[[en:Northern Sotho language]]
[[en:Northern Sotho language]]
[[eo:Peda lingvo]]
[[eo:Peda lingvo]]
[[es:Idioma sesotho sa leboa]]
[[es:Sesotho sa leboa]]
[[eu:Pediera]]
[[eu:Pediera]]
[[fi:Pohjoissothon kieli]]
[[fi:Pohjoissothon kieli]]

Pitio la 15:47, 10 Machi 2012

Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.